Jumamosi, 26 Julai 2025

Senega/Mizizi ya Senega

Mizizi ya Senega

Mzizi wa Senega, Ni dawa ya mitishamba, uliotokea Amerika Kaskazini. Ilitumiwa sana na makabila ya asili ya Amerika, haswa watu wa Senecas katika matumizi mbalimbali kutokana na faida zake.

Faida ya mzizi wa Senega katika Tiba ya Asili:

1. Kutuliza kikohozi Hupunguza kikohozi kikavu.

2.Husaidia kuondoa sumu mwilini.

3.Huchochea mfumo wa neva na kuboresha umakini.

4.Husaidia kuondoa maumivu ya meno.

5.Husaidia kuondoa tatizo la pumu na kurahisisha upumuaji.

6.Huondoa magonjwa ya mfumo wa hewa muwako wa koo,pua,kifua na mapafu haswa katika matatizo ya pumnzi.

7.Hutibu tatizo la kambaku na kutuliza kabisa.

Jinsi ya kutumia mizizi ya senega:

1.Mzizi wa senega chemsha pamoja arkasusi unywe 1/2 kikombe kidogo cha chai mara 2 kwa wiki mbili.

Tahadhari:Inaweza kuwasha tumbo au koo kwa viwango vya juu. Epuka wakati wa ujauzito au kunyonyesha. Inaweza kusababisha kichefuchefu, kutapika, au kizunguzungu .

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Uwa la jerusalem

UA LA JERUSALEM Ni mmea ambayo midogodogo kwa kawaida huwa hutoa mauwa ya pinki, meupe na zambarau. Zifuatazo ni faida za mti wa ...

POSTS