Ijumaa, 25 Julai 2025

Haluli

Haluli

Haluli,Ni dawa ya asili za Afrika Mashariki husaidia matatizo mbalimbali katika mwili wa binadamu kama vile kuchochea haja kubwa ili kupunguza kuvimbiwa. Hata hivyo, kusafisha tumbo au kusafisha mfumo wa usagaji chakula na mambo hutumika kusafisha tumbo na kuondokana na kuvimbiwa. Inaweza kusaidia kuondoa sumu mwilini na kuboresha usagaji chakula inapotumiwa kwa uangalifu mara kwa mara.

Faida na Matumizi ya Haluli:

1.Husaidia kumpa mtu hamu ya kula au kuboresha usagaji chakula

2.Husaidia ini na koloni kuondoa taka, na kuboresha hali ya ngozi.

3.Hufukuza minyoo katika tumbo.

4.Husaidia kusafisha damu.

6.Husafisha tumbo.

7.Huondoa kuvimbiwa na kuondoa gesi katika tumbo.

8.Huondoa gesi na uvimbe tumboni.

9.Hutumika katika tiba kwa ajili kusafisha mwili.

10.Hupunguza uzito.

11.Kuboresha hali ya ngozi.

Matumizi ya Haluli:

1.Inatumiwa katika madawa ya kufusha kwa kuchanganywa na dawa nyingine nakuweza kutibia.

NOTE:Mpaka upewe maelekezo na mtaalamu wa tiba.

2.Kuchemsha na dawa nyingine kama sanamaki, uwatu na haluli nakuweza kutumia.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Uwa la jerusalem

UA LA JERUSALEM Ni mmea ambayo midogodogo kwa kawaida huwa hutoa mauwa ya pinki, meupe na zambarau. Zifuatazo ni faida za mti wa ...

POSTS