MZUGWA/MPATAKUVA
Ni dawa asili ambayo hupatikana katika sehemu tofauti za afrika mashariki na sehemu nyinginezo ambao mti wake husaoidia kama mmea wa jadi kutibu matatizo mbalimbali na kuweza kuponya na kuleta ahueni.
Zifuatazo ni faida za mzugwa/mpatakuva katika tiba asili:
1.Husaidia kuondoa mchafuko wa tumbo.
2.Husaidia kurekebisha mirija ya uzazi.
3.Hutibu malaria.
4.Hutibu uti.
5Huondoa maumivu ya hedhi na kurekebisha mfumo wa hedhi kwa wakina mama.
Jinsi ya utumia mzugwa:
1.Chukua majani yake uponde na maji kiasi kupata maji yake na kuweza kuchuja katika chupa nakutumia kama dawa nusu kikombe cha chai kutwa mara mbili kwa siku au kikombe kimoja kwa siku.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni