Jumapili, 19 Machi 2023

FAIDA ZA KOTO /QISTI DAWA YA ASILI


KOTO





Faida za Koto  kuzizungumzia kwa Mara moja haiwezekani kutokana na upana wa Tiba yake pia na maelekezo yake  , Koto ina faida nyingi sana ambazo Huweza kusaidia Matatizo mbalimbali.Zifuatazo ni baadhi za faida za koto:   


 

(i)KOTO KWA HOMA ZA MSIMU  

(ii) KIFUA NA PUMU

Changanya unga wa KOTO vijiko 4 na asali lita kwa wiki kutwa Mara 2 au tatu



(iii)Changanya unga wa KOTO na asali utengeneze Mchanganyiko mlaini upake sehemu husika uuache kwa mda wa saa 1 mfululizo ndani ya wiki.kama.madoa au MAKOVU yatakua sugu  

(iv)KUSAFISHA  FIGO;


(v)koto  hutibu maradhi  ya  ngozi waweza kuitumia ujipaka Kwenye ngozi sehem ilokua na athar na kupona.   


(vi) NIMONIA 

(vii)NGUVU ZA KIUME 

 

(viii) MARADHI YA BARIDI

 

(ix) VIDONDA VYA MAJI MAJI



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Uwa la jerusalem

UA LA JERUSALEM Ni mmea ambayo midogodogo kwa kawaida huwa hutoa mauwa ya pinki, meupe na zambarau. Zifuatazo ni faida za mti wa ...

POSTS