Alhamisi, 19 Oktoba 2023

ASALI NA FAIDA ZAKE

ASALI NA FAIDA ZAKE

Asali ni dawa  ya kila maradhi /ponyo kwa kwa Kila maradhi

Kama ilivyosemwa na  mwenyezimung  katika qur'an

  Kama ilivyotajwa katika Qur'an


يَخۡرُجُ مِنۡۢ بُطُوۡنِهَا شَرَابٌ مُّخۡتَلِفٌ اَلۡوَانُهٗ فِيۡهِ شِفَآءٌ لِّلنَّاسِ​ؕ اِنَّ فِىۡ ذٰ لِكَ لَاٰيَةً لِّقَوۡمٍ يَّتَفَكَّرُوۡنَ

 

katika matumbo  yao kunatoka kinywaji chenye rangi mbalimbali, ndani yake kina  pozo kwa wanadamu.(An-Nahl:69)


  


Asali ni dawa inayoweza kutumika katika matumizi mengi  kwa kutibia maradh tofauti, unaweza ukatumia asali na maji ya uvuguvugu ukawa Mwenye kunywa kabla yakula chochote haswahaswa vizuri kwa asubuh ukitumia Kama kifungua kinywa 

  Yafuatayo ni matumizi ya asali:-

(I)kuungua  na Moto 

(ii)huongeza nguvu za kiume

(iii)asali hitumika Kama njia yakuhifadhi kitu kisiharibike au kisioze

(iv)asali huponya mafua 

(v)huondoa mikunjo ya ngozi

(vi)hutibu pumu

(vii)huondoa maumivu ya mwili  ,hutumika Kama scrub , facial kwa kuondoa madoa mapaka harara  kufanya ngozi kuwa nyororo kufanya nywele zisikatike na kuwa imara  Tiba kwa macho na mengine mengi , n.k

 

KUUNGUA NA MOTO

hutumika Kama pozo pale mtu akiungua na Moto mvuke  madawa yakujipaka halkadhalika akabambuka ngozi yake ikipata jeraha  au kuungua asali ni pozo atumie kujipaka asubuh na jion atarudi katika Hal take ya kawaida


HUONGEZA NGUVU ZA KIUME 

Kama utachukua asali na kuchemsha na habat soda pamoja na mdalasini ukawa unatumia nusu kikombe Cha kahawa kutwa Mara tatu wiki 2 itakusaidia  kurudisha nguvu zako 


 

HUSAFISHA DAMU

asali ukitumia kabla hujakula  vijiko viwili 2 kwa maji ya uvuguvugu au chai ukawa wanywa husafisha damu 



KIFUA

<

asali pia hupoza kifua kwa kutumia na kitunguuu maji kuchuja maji ya kitunguuu maji pamoja na asali ujazo sawa ukaichemsha Kisha ukatumia vijiko 2 Kutwa Mara tatu wiki utarudi katika Hali yako 


HUTUMIKA KITU KISIHARIBIKE

asali nikimiminika kilichokua na sifa ya kuhifadhi vitu Kama utachukua kitunguu au dawa ya Aina yoyote Kuna uwezekano mkubwa dawa Ile kuharibika nakutoa harufu ya kuoza lakin ukitia pamoja na asali kitu like kinakua kinahifadhika Wala hakiozi ambacho unaweza kukitumia bila wasiwasi Tena kwa masiku unayoyataka


HUONDOA MIKUNJO YA NGOZI 

Asali unaweza kutumia kwa kujipaka Kila siku sehem ilojikunja nakukuletea matokeo mazuri kwa ngozi yako kurud kukaaa vizuri kwa afya iliyo Bora.


ASALI HUONDOA MADOA;

pia asali inaweza kuifanya Kama pozo kwa kidonda kibichi


HUTIBU VIDONDA VYA TUMBO 

hutibu vidonda vya tumbo kwa kuchanganya na habat soda  mdalasin na mafuta ya kondooo 

             

fuatilia katika kurasa zinazofuata kupata kujua mengi ya tiba za asali 



       

inaendeleaa........



   

  


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Uwa la jerusalem

UA LA JERUSALEM Ni mmea ambayo midogodogo kwa kawaida huwa hutoa mauwa ya pinki, meupe na zambarau. Zifuatazo ni faida za mti wa ...

POSTS