UA LA JERUSALEM
Ni mmea ambayo midogodogo kwa kawaida huwa hutoa mauwa ya pinki, meupe na zambarau.
Zifuatazo ni faida za mti wa jerusalem :
1.Hutibu kisukari.
2.Hutibu Henia au ngiri.
3.Hutibu chango la kina mama.
4.Hutibu magonjwa ya zinaa.
5.Hutibu sikio linalotoa usaha.
6.Hutibu maumivu ya jino.
7.Mauwa yake hutumika kama fusho safi.
Jinsi ya kutumia mti wa jerusalemu:
1.Chukua mizizi yake na uchemshe kunywa maji yake.
2.Chukua mauwa yake na uyakaushe uchome kama fusho safi kujifukiza.
3.Fikicha majani yake na utie matone machache katika sikio linalotoa usaha.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni