Beetroot
Beetroot,Ni mboga ambazo huota viazi vyenye rangi nyekundu au zambarau vinavyotumika katika matumizi mbalimbali. Ni mboga yenye virutubishi vingi iliyojaa vitamini na madini. Beetroot ni kiungo kinachotumiwa sana katika maandalizi mbalimbali ya upishi, kutoka kwa saladi na supu hadi juisi na vyakula mbalimbali.
Faida za beetroot:
1.Husaidia kuondoa sumu mwilini.
2.Husaidia afya ya ini na usagaji chakula.
3.Kupunguza uvimbe mwili.
4.Husaidia kudhibiti uzito mwilini.
5.Kuimarisha afya ya ngozi kwa kukuza ngozi yenye afya.
Jinsi ya kutumia beetroot:
1.Beetroot 1 saga na kufanya juisi unaweza pia kuchanganya na matunda.Kunywa 1/4 hadi 1/2 kikombe cha juisi safi ya beetroot mara moja au mbili kwa siku.
2.Beetroot unaweza kukata na kuchanganya na mbogamboga nyingine kama salad na kuweza kutumia kama mlo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni