MKUNDE NYIKA/MKUNDE PORI/MNUKA UVUNDO
Mkunde Nyika ni mti wa asili unaopatikana katika baadhi ya maeneo ya Afrika Mashariki, hasa katika nchi kama Tanzania na Kenya. Mti huu unajulikana kwa matumizi yake katika tiba za asili, ambapo sehemu mbalimbali za mti, kama vile majani na mizizi, hutumika kutengeneza dawa za kutibu magonjwa mbalimbali.
Faida za mkunde nyika katika tiba asili:
1.Hutibu magonjwa kama vile homa, maumivu ya tumbo, na matatizo ya ngozi.
2.Hutumika kutibu maumivu ya kifua .
3.Husafisha mfumo wa mkojo na kuondoa muwasho wa sehemu za siri.
4.Husaidia kutibu matatizo ya tumbo kama tumbo la uzazi, hedhi na mchafuko wa tumbo.
5.Hutibu u.t.i na fangasi sugu sehemu nyeti.
6.Husaidia kukausha vidonda na kuondoa mapele muwasho katika ngozi.
7.Husaidia kuzibua mirija iliyoziba katika mfumo wa uzazi.
Jinsi ya kutumia mkunde pori/mkunde nyika:
1.Chemsha mizizi yake na uweze kutumia nusu kikombe kwa siku mara mbili kwa mwezi.
2.Majani yake ponda na uweze kubandika katika sehemu ya ngozi ambayo imeathirika.
Tahadhari:Angalizo kwa wamama wajawazito tayari wastumie dawa hii inaweza kuleta athari ndani ya kipindi hicho.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni