MKILUA
Mkilua,Ni mmea adimu ambao hutoa maua hujulikana kwa jina la vilua.Mara nyingi inapatikana katika mikoa ya mwambao wa Afrika Mashariki, hasa nchini Tanzania na Kenya.
Faida za mkilua katika tiba asili:
1.Husaidia kutibu matatizo ya kupumua.
2.Husaidia ngozi kwa ajili ya majeraha na uvimbe .
3.Husaidia usagaji chakula.
Jinsi ya Kutumia Mkilua katika tiba asili:
1.Chai:Majani kutibu magonjwa madogo kama vile kikohozi au matatizo ya usagaji chakula.
2.Majani:Majani yaliyosagwa hutumika kwenye ngozi kwa ajili ya majeraha, maambukizi au uvimbe.
3.Mafuta:Mafuta ya asili kama ya nazi yanaweza kuchanganywa na mauwa ya mkilua na kuleta harufu nzuri ya kuburudisha au kama manukato.
Mzio:Wakati mwingine kutokana na harufu kali sana ya mauwa ya mkilua yanaweza kusababisha mzio .
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni