Jumapili, 27 Aprili 2025

SUMAC/MCHENGELE

SUMAC/MCHENGELE

Mmea wa sumac/Mchengele,Ni kiungo kilichokaushwa kutoka katika matundaya rangi nyekundu yaliyokaushwa na kusagwa na kuweza kupatikana kwa unga ambao huitwa sumac/Mchengele.Ni kiungo ambacho hutumiwa katika nchi za Amerika, Ulaya, na Mashariki ya Kati,Ni kiungo chenye rangi nyekundu na kinachotumiwa katika vyakula kwa ladha yake tamu kama ya machumgwa au ndimu kinachotumiwa kwa sana katika nchi hizo kwa manufaa mbalimbalia ukiachia harufu yake.

Faida za mmea wa sumac katika tiba asili

1.Hupunguza uvimbe katika mwili.

2.Husaidia katika kuacha kuhara au kutibu majeraha.

3.Husaidia kuosha koo kwa matatizo ya vidonda na matatizo ya fizi.

4.Husaidia kuondoa maumivu ya misli.

5.Huondoa gesi tumboni kwa kusaidia mfumo wa umeng'enyaji chakula.

Matumizi ya sumac katika matumizi kama tiba asili:

i.Usagaji chakula au kupunguza uvimbe,kwa msaada wa kinga,Kutibu kuhara au kama kiosha kinywa kwa vidonda vya koo na matatizo ya fizi, kusaidia katika kupunguza hali kama vile maumivu ya misuli.
Kipimo: Chai (Infusion): Kipimo: vijiko 1-2 vya majani yaliyokaushwa kwa kikombe cha maji ya moto kwa dakiaka 10 hadi 15.
Tumia: Kunywa mara moja au mbili kila siku.

ii.Kusafisha majeraha.
kwa ngozi:kupakwa moja kwa moja kwenye michubuko, majeraha au ngozi iliyowashwa kwa hadi dakika 15 au 20.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Uwa la jerusalem

UA LA JERUSALEM Ni mmea ambayo midogodogo kwa kawaida huwa hutoa mauwa ya pinki, meupe na zambarau. Zifuatazo ni faida za mti wa ...

POSTS